Mitazamo ya Waafrika kuhusu urithishwaji wa mali: Uchunguzi wa bunilizi za Kiswahili
Kurithisha mali katika jamii nyingi za Kiafrika ni suala linalohifadhi na kuendeleza utamaduni wa jamii. Hivyo, thamani ya mwanadamu katika ulimwengu wake hubainika pia kupitia mali anazorithisha wengine. Vilevile, kupitia mali hizo, mrithishaji anaendelea kuishi katika fikra za wanaorithishwa hata...
Saved in:
| Main Authors: | , |
|---|---|
| Format: | Article |
| Language: | other |
| Published: |
Mwanga wa Lugha
2026
|
| Subjects: | |
| Online Access: | https://scholar.mzumbe.ac.tz/handle/123456789/1991 |
| Tags: |
Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!
|
Be the first to leave a comment!