Mitazamo ya Waafrika kuhusu urithishwaji wa mali: Uchunguzi wa bunilizi za Kiswahili

Kurithisha mali katika jamii nyingi za Kiafrika ni suala linalohifadhi na kuendeleza utamaduni wa jamii. Hivyo, thamani ya mwanadamu katika ulimwengu wake hubainika pia kupitia mali anazorithisha wengine. Vilevile, kupitia mali hizo, mrithishaji anaendelea kuishi katika fikra za wanaorithishwa hata...

Full description

Saved in:
Bibliographic Details
Main Authors: Duwe Martina, Fuluge Adria
Format: Article
Language:other
Published: Mwanga wa Lugha 2026
Subjects:
Online Access:https://scholar.mzumbe.ac.tz/handle/123456789/1991
Tags: Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!