Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni
Makala iliowasilishwa na kuchapishwa kwenye Jarida la CHALUFAKITA mwaka 2020, Juz. No. 2
Guardado en:
Autor principal: | |
---|---|
Formato: | Artículo |
Publicado: |
CHALUFAKITA 2020, JUZ. NA. 2
2024
|
Materias: | |
Acceso en línea: | https://scholar.mzumbe.ac.tz/handle/123456789/1448 |
Etiquetas: |
Agregar Etiqueta
Sin Etiquetas, Sea el primero en etiquetar este registro!
|
_version_ | 1835205596934045696 |
---|---|
author | Duwe, Martina |
author_facet | Duwe, Martina |
author_sort | Duwe, Martina |
collection | DSpace |
description | Makala iliowasilishwa na kuchapishwa kwenye Jarida la CHALUFAKITA mwaka 2020, Juz. No. 2 |
format | Article |
id | oai:null:123456789-1448 |
institution | Mzumbe University |
publishDate | 2024 |
publisher | CHALUFAKITA 2020, JUZ. NA. 2 |
record_format | dspace |
spelling | oai:null:123456789-14482024-10-15T10:35:25Z Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni Duwe, Martina Eskatologia Wangoni Usawiri wa Eskatologia Mbolezi Mizimu ya Wangoni Tanzania Makala iliowasilishwa na kuchapishwa kwenye Jarida la CHALUFAKITA mwaka 2020, Juz. No. 2 Eskatolojia ni kipengele kimojawapo kinachodhihirisha falsafa ya jamii za Waafrika kulingana na mila na desturi zao. Tafiti nyingi zilizofanywa kuhusu dhana hii zimejiegemeza katika muktadha wa kiteolojia. Baadhi ya tafiti hizo ni zile zilizofanywa na Baloyi (2008) na Lup (2013). Licha ya kuwapo kwa tafiti hizo, dhana ya eskatolojia ya Waafrika hususani fasihi simulizi za jamii ya Wangoni bado haijamakinikiwa ipasavyo. Aidha, ni wazi kwamba fasihi simulizi ni fasihi inayobeba na kuibua maarifa ya kifalsafa yanayoisawiri jamii husika kulingana na kaida zao. Kwa mantiki hiyo, makala hii inajadili usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika kipera cha mbolezi hususani za jamii ya Wangoni ili kubainisha maarifa yanayobebwa katika kipera hicho. Makala hii ni matokeo ya utafiti uliofanyika kwa kutumia mbinu ya ushuhudiaji shirikishi katika matukio yanayoambatana na suala la kifo na mahojiano ya ana kwa ana na baadhi ya Wangoni katika mazingira yao halisi. Data zimechanganuliwa kwa njia ya maelezo. Data hizo zinaonesha kuwapo kwa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za jamii hiyo. Hata hivyo, makala hii inajadili vipengele muhimu vitatu tu ambavyo ni: kuamini katika uwepo wa Mungu, mwendelezo wa maisha baada ya kifo na nguvu za waliokufa (mizimu). Nil 2024-10-15T06:03:08Z 2024-10-15T06:03:08Z 2020 Article APA eISSN: 2591-7013 print ISSN: 2665-0789 https://scholar.mzumbe.ac.tz/handle/123456789/1448 application/pdf CHALUFAKITA 2020, JUZ. NA. 2 |
spellingShingle | Eskatologia Wangoni Usawiri wa Eskatologia Mbolezi Mizimu ya Wangoni Tanzania Duwe, Martina Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title | Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title_full | Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title_fullStr | Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title_full_unstemmed | Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title_short | Usawiri wa eskatolojia ya Waafrika katika mbolezi za Wangoni |
title_sort | usawiri wa eskatolojia ya waafrika katika mbolezi za wangoni |
topic | Eskatologia Wangoni Usawiri wa Eskatologia Mbolezi Mizimu ya Wangoni Tanzania |
url | https://scholar.mzumbe.ac.tz/handle/123456789/1448 |
work_keys_str_mv | AT duwemartina usawiriwaeskatolojiayawaafrikakatikambolezizawangoni |